l’invité sw de ce jeudi 11 aout 2022
Wasikilizaji wapendwa kwa siku ya leo tunamupkeya muganga mkuu wa mtaa wa afia wa Kibua mtaani Walikale.Daktari YVES TSONGO BIKUNDE atoa mafasiriyo kuhusu magonjwa ya kuhara ambayo ya kumba mtaa mudogo wa afia wa Ntoto kumepita wiki fulani hivi.Kwake yeye,ni tangu juma za mwisho za mwezi julai kuliripotiwa kesi 58 za wagonjwa na kupelekeya watu tano kufariki.
Audio
Ajouter un commentaire