Sécurité/Goma
‘’Si vema askar iwa endeleye ku zagaa kiyolela mjini Goma wakiwa na silaa zao mikononi’’. Hii ni ombi ya kiongozi wa kata Mikeno siku moja kiisha mtuto wa risasi ulio zuka mchana katik katika aneo lake, naku sababisha kifo cham tu mmoja, pia ku umiwa kwa wengine. Samuel Nsigayehe ana kumbusha kwamba mtuto huu wa risasi uli sababishwa na askari jeshi mmoja mwenyi kua katika hali ya ulevi, na ambaye wa endesha pikipiki wali kataa ku beba kwenyi vyombo vyao vya usafirishaji. Kada huyu wa ngazi za chini ana hakikisia wakaaji wa kata Mikeno kwamba viongoi kwa ngazi zote, wana tumika usiku na mchana ili ku hakikisha usalama katika muji wa Goma.
Catégorie
Audio
Ajouter un commentaire