SOCIAL/NYIRAGONGO
Wanawake wengi ambao wame zaa katika kembi mbalibali za wa hami wa vita kandokando na muji wa Goma wana ugumu waku horozesha watoto wao katka buku ya serkali. Ku fwatana na shida hii, shirika ‘’Groupe Martin Luther King’’ ya omba ku shimikwe na ofisi za serkali zitakazo husika naku horoza watoto hawa katika kembi hizo za vita.
Audio
Ajouter un commentaire