magazine_sw
Minova
Mganga Mkurugenzi wa hospitali kuu ya MINOVA anatahadharisha kuhusu hali ngumu ambamo watumika wauguzi kwenye hospitali hii katika kipindi hiki cha vita. Ana towa tahadhari yake wakati mapigano makali yanaripotiwa kati ya FARDC na M23 katika maeneo kadhaa huko Minova na Mupfuni-Shanga.