magazine_sw
ECONOMIE
Karibuni wajasiriamali, yaani wa entrepreneurs sabini, ama makuni saba wana onesha vizaa wanavyo tengeneza tokea hii ijumaa tarehe 15 March hapa mjini Goma. Ni katika mpango wa soko ya maonesho, yaani ‘’foire agro industrielle et artisanale’’ iliyo fungua milango yake chini ya uandalizi wa muungano ‘’Maarifa’’