Société_Goma.
Wagombea kwenye urais wa Jamhuri walio na hotuba zinazo haribu jamii wanapaswa hazibiwa wakati wa uchauguzi na wapiga kura wao watarajiwa. Hivi ndivyo mratibu wa FDAPID anapendekeza. Vicar Batundi Hangi anasema haya kulingana na tabiya ya wagombea wamoja kwa urais wanao shindwa ku elewesha watu miradi zao kwa lengo yaku wahimiza ku ibali. Mtaalamu huyu wa shirika la raia jimboni Kivu Kaskazini anatoa wito kwa mamlaka ya jamhuri na taasisi zinazo tumika kwaku teteya demokrasia kuchukua hatua zakuhazibu watu hawa kulingana na sheria. Anakumbusha kuwa wanasiasa hawa wangepashwa imiza mashabiki wao kwa kutapanya ujumbe zinazo ambatana na miradi zao kuliko kuwaacha wasambaze habari zisizo na thamani kubwa. Nakualika kumsikiliza:
Audio
Ajouter un commentaire