Sociopolitique_Nation
Uongozi mbaya wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni mojawapo ya mambo yanayodhoofisha juhudi za kidiplomasia na vitendo vya wakongomani wengi kwa nia ya kupata usaidizi wa jumuiya ya kimataifa kwa ajili ya Kongo. Hii ni wazo ya mchambuzi wa masuala ya kisiasa Phidias SENGE. Mwanasayansi huyu wa masuala ya kisiasa anaeleza kuwa mtazamo wa nje wa mateso wanao pitiya wakaaji wa Kongo unatofautiana na matumizi mbovu wa fedha nao wanasiyasa kadhaa wa Kongo. Profesa huyu wa sayansi ya siasa anatoa wito kwa wakuu vyongozi ku badilisha mambo ya ndani ya nchi kabla ya ulimwengu wa nje kuchukua kwa uzito kilio cha Wakongomani.
Catégorie
Audio
Ajouter un commentaire