SOCIETE_SITUATION SOCIO HUMANITAIRE
Mapambano inayo endeleya kuripotiwa mitaani MASISI na RUTSHURU yakuwa chanzo cha kuzorotesha maisha ya raiya wa groupmenti IKOBO mnamo secta ya WANIANGA mtaani WALIKALE. Idadi ya raiya inaongezeka eneoni humo, sababu ya wakimbizi wengi wanao kimbiya vita kutoka RUTSHURU, MASISI na LUBERO. Habari hii ime hakikishwa na mmoja miongoni mwa wazee mashuhuri wa WALIKALE. MUHINDO MUHEMERI ame tangaza kwamba uhaba wa maji umewakumba watu wa eneo hilo, kukosa chakula na matibabu. Anaongeza kwamba bei ya bidhaa mbali mbali imepaa mnara sokoni. Anaomba kwa wakuu viongozi na kwa wa fazili wa gavmenti kutafuta suluhisho upesi ili kuleteya wahanga hawa wa vita msaada.
Catégorie
Audio
Ajouter un commentaire