Politique_Walikale
Ombi ya upinzani hapa inchini Congo DRC, inayo pendekeza ku vunjwa kwa uchaguzi ulio endeshwa tarehe 20 Disemba iliyo pita, ya zusha maoni tofauti kwa wana siasa, pia kwa wana harakati wa shirika la rahiya la mtaa wa Walikale. Ikiwa wapinzani wana zingatia msimamo wao, wana siasa wa vyama tawala wana ahidi ku sinhwa kwa jithada zote zinazo endeshwa ili uchaguzi huo uvunjwe. Bila ku jali umazi ambao uta tolewa na korti ya ki katiba, shirika la rahiya upande wake la alika pande hizi mbili kuto zorotesha utulivu wa rahiya.
Audio
Ajouter un commentaire