magazine_sw
Economie_Masisi
Viazi mviringo, yaani birayi ni chakuka ambacho kwas asa, kila jamaa ya Rubaya ina uwezo waku pata pasipo shurti yakua na pato kubwa. Ni hayo ali hakikisha Jean Claude Mukulu, mwandishi wa redio Pole Fm sehemu hii ya mtaa wa Masisi, baada ya mzunguuko alio endesha nafasi mbalimbali ambapo kuna endeshwa biashara wa viazi hivyo